Tuesday, 2 July 2013

GEORGE BUSH ALIPOKUTANA NA RAIS OBAMA KABLA HAJAONDOKA TANZANIA


 Rais Obama pamoja na Bush walikutana katika Ubalozi wa Marekani uliopo jijini Dar es Salaam na kufanya tendo la kutoa heshima zao kwa Walipoteza Maisha pamoja na wale wote walioathirika katika shambulio la Ugaidi katika Ubalozi wao hapa nchini mwaka 1998.
 
HAPA OBAMA AKITEMBELEA KITUO CHA UMEME UBUNGO

No comments:

Post a Comment