Mgeni Rasmi
Mkurugenzi Maendeleo wa Wizara ya Kilimo;
Maendeleo makubwa nchni yamekuwa yakipeleka vijana Vyuo Vikuu exponentially,
is the achievement of trickle down efforts, tukijidistinguish bila kufanya
juhudi tutakuwa waombaji, tujidistinguish kitofauti na ombaomba we must become
eagles, we must fly to eagles, we must fly to be eagles, hakuna upinzani fly
above the rest, Muheshimiwa mgeni rasmi aliongezea kwa kusema; we must copy the
form of IPP yani inspiration preparation pastpire, Mbali na hayo alizungumza
pia program PADEP mbayo Wizara ya Kilimo inasimamia katika TAFSPG, Wizara
inashiriki kwenye utekelezaji wa MKUKUTA ikishirikiana kupitia mradi wa ASP, DADPS,
tukianza tutashiriki kwenye miradi mizuri sisi tukawe service providers,
malengo yote ya mikakati hii ni to increase productivity and production in the
agriculture sector pia mgeni rasmi alitolea mifano ya program mbalimbali
zinazoendelea under Ministry of
Agriculture to young Tanzanian kama;
Home vegetables groups of Arusha farmers.
In
Singida and Kibondo a big power group in they produce, process and sell flower.
Also Ministry efforts in youth development in Rufiji, we have established a
youth center will grow high maize in 55 sectors.
Akamalizia
kwa kusema in every aspect of career is later with oppurtunities with heart
break and fail, the only different between those who have fail and success,
those are hard habits we need hard working, from today and become the slave of good habit, the most remote
place so keep it up to percent until you succeed.
Wageni rasmi wengine waliongea
maneno mafupi yafuatayo;
Mwakilishi wa Head of Department of Development
Studies UDOM
Mr.
Baradyana; anaomba kasi tuliyonayo iendelee katika ujenzi wa taifa
Lecturer of Development Studies
Mr.
Menda; anapendekeza siku ya nanenane ifanyike hata siku ya mvua na sio tena kipindi cha ukame kama mwezi wa nane kwa sasa kwasababu wakulima wengi wanakuwa wananjaa kipindi hicho.
Dean of school of Social Science UDOM
Prof.
Mwamfupe; Tunaona wimbi jipya la wakulima kuzaliwa lakini sasa na vijana.
Tunasoma kukwamua kilimo bila vijana kilimo ni homa ya uti wa mgongo,
tunaonyesha kukua kwa uti wa mgongo wa uchumi wan chi, inapunguza kasi ya
vijana kukimbilia mijini, wanahitaji mrejesho wa shughuli wanazo zifanya na
vyuo vingine vitaiga mfano kutoka chuo kikuu cha Dodoma
Mbunge wa Nanyumbu/Mlezi wa TAFE
Mh.
Dastan Mkapa; Nanyumbu ni uwanja wa vita vya mapambano nan i motivation kubwa
sana; bado tunatumia jembe la mkono na uduni wa vifaa ila isiwavunje moyo- Nitawasaidia
katika hali na mali kuwa bega kwa bega kuhakikisha kuwa TAFE inakua wilayani
Nanyumbu.

No comments:
Post a Comment