
Baadhi ya
Helkoper za kijeshi toka Marekani ambazo zinadaiwa zimeanza kutua kwenye
Air Port ya Zanzibar na Dar kwa ajili ya kuimarisha usalama wa Rais wa
nchi hiyo.

Pia ndege maalum ya kivita itasindikiza Air Force One ya Rais Barak Obama

Askari maalum wa kulinda ndege ya Rais

Walinzi wa rais Obama kama wanavyoonekana


Kwa ujio huu wa Raisi wa Marekani Barack Obama, je kutaleta matumaini kwa WaTanzania? hasa katika kukuza uchumi wetu ambao unategemea sana kilimo.

No comments:
Post a Comment